Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook

BUSWITA ATUPWA JUKWAANI, YONDANI NDANI

▼▼▼Kujua Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Kwa Haraka: BONYEZA HAPA CHINI▼▼▼
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita.
KIUNGO wa Yanga, Pius Buswita atakosa mchezo dhidi ya Azam kutokana na adhabu ya kadi tatu za njano huku Kelvin Yondani akirejea baada ya adhabu yake kumalizika.

Jumamosi ijayo, Azam FC itavaana na Yanga mchezo ambao utapigwa katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Championi Juma­tano, Meneja wa Yanga Hafidhi Saleh al­isema Buswita na Andrew Vincent ‘Dante’ watakosekana kutokana na kupata kadi katika michezo tofauti.

“Ni kweli Buswita kwenye mchezo dhidi ya Azam hatakuwepo kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano ambazo alipata kwenye michezo iliyopita pamoja na beki Andrew Vincent ‘Dante’.

“Lakini pia Yondani amemaliza adhabu yake hivyo atakuwepo uwanjani,” alisema Saleh ambaye anaheshimika miongoni mwa wanachama na viongozi wa Yanga.
▼▼▼Tazama VIDEO Hapa Chini Wema Sepetu Na Idrisa Wakingonoka Kitandani▼▼▼

Tupe Maoni Yako