Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook
Like Us On Facebook

Picha Ya Kwanza Ya Sanchez Akiwa Kwenye Uzi Wa Mashetani Wekundu

▼▼▼Kujua Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Kwa Haraka: BONYEZA HAPA CHINI▼▼▼





Hatimaye Alexis Sanchez ameonekana akiwa katika uzi wa Manchester United namba 7.

Sanchez anatarajia kutangazwa rasmi ndani ya saa 24 rasmi akiwa mchezaji wa Manchester United.

Katika picha ya uficho, Sanchez anaonekana akipiga picha hiyo akiwa Old Trafford.

Taarifa zinaeleza amepelekwa Old Trafford kwa ajili ya kupiga picha maalum.

Raia huyo wa Chile kutoka Arsenal, anatarajia kuwa akilipwa pauni 600,000 kwa wiki zitakazomfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi ndani ya klabu hiyo.

Mgawanyo wa fedha hizo uko mshahara pauni 350,000, haki za picha pauni 100,000 na bonas itakuwa pauni 144,000.
▼▼▼Tazama VIDEO Hapa Chini Wema Sepetu Na Idrisa Wakingonoka Kitandani▼▼▼

Tupe Maoni Yako